Discover
KaBrazen

33 Episodes
Reverse
Two friends, a magical quest, and a story that must be told!
In this episode of KaBrazen, Aunty Shishi reimagines the fantastical story of the girl who loved stories. The daring and brave Therese goes on a quest through the City of Tales, to bring the story she wants to tell to life. With the help of her friend Geraldine, Therese reminds us you don’t have to make your dreams come true on your own.
Marafiki wawili, msako wa ajabu na hadithi ambayo lazima isimuliwe!
Katika kipindi hiki cha KaBrazen, Tata Nduta anasimulia hadithi ya kustaajabisha inayohusu msichana aliyependa hadithi. Therese mwenye ujasiri anapiga safari katika Mji wa Hekaya akisaka njia za kufufua hadithi yake na kuipa uhai. Pamoja na usaidizi wa rafiki yake Geraldine, Therese anatukumbusha kwamba si lazima utimize ndoto zako pekee yako, unaweza kuomba usaidizi.
Dark caves, colourless frogs and a triumphant echo!
In this episode of KaBrazen, Aunty Shishi reimagines the incredible story of the girl who found her voice. In a world where some people were forced into lonely holes where they could only whisper, Bessie used her loud voice to give her people hope. Bessie reminds us that speaking your dreams out loud can help make the world more wonderful.
Mapango yenye giza, vyura wasio na rangi na mwangwi wenye mafanikio!
Katika kipindi hiki cha KaBrazen, Tata Nduta anasimulia hadithi ya kusisimua inayohusu msichana aliyetumia sauti yake. Katika dunia ambapo baadhi ya watu walilazimika kuishi katika mashimo yenye upweke, ambapo walilazimika kunong’ona tu, Bessie alitumia sauti yake kubwa kuwapa watu wake matumani. Bessie anatukumbusha kwamba, kuzungumzia ndoto zako kwa sauti kunaweza kuufanya ulimwengu uwe maridadi zaidi.
Big hopes, mean bullies and a girl beloved by dreams!
In this episode of KaBrazen, Aunty Shishi reimagines the phenomenal story of the bubbly Kenyan girl with big dreams.. In a world where dreams sing, listen, and help you, Nelly reminds us that it’s okay to try, to fail and to learn…because your dreams can come true.
Matumaini makubwa, wachokozi wabaya na msichana anayependwa na ndoto!
Katika kipindi hiki cha KaBrazen, Tata Nduta anasimulia hadithi ya kusisimua juu ya msichana mmoja Mkenya, mchangamfu, aliyeota ndoto kubwa kubwa. Katika dunia ambapo ndoto huimba, kusikiliza na kukusaidia, Nelly anatukumbusha kwamba ni sawa kujaribu , kufeli na kujifunza…kwa sababu ndoto zako zinaweza kutimia.
Gobbled up dreams, disappearing colours and a brilliant plan!
In this episode of KaBrazen, Aunty Shishi reimagines the extraordinary story of the girl who dreams out loud. In a world where people’s dreams are being swallowed up by a greedy chameleon, Ketty courageously shows her people in Burundi how important it is to keep on dreaming! As Ketty reminds us, your dreams are so, so, so important, so don’t let anyone stop you dreaming!
Ndoto zinazomezwa, rangi zinazotoweka na mpango bora kabisa!
Katika kipindi hiki cha KaBrazen, Tata Nduta anasimulia hadithi ya kusisimua juu ya msichana anayeota kwa sauti. Katika ulimwengu ambapo ndoto za watu zinamezwa na kinyonga mlafi, Ketty kwa ujasiri, anawaonyesha watu wake wa Burudi umuhimu wa kuendelea kuota! Ketty anatukumbusha , ndoto zenu ni muhimu sana , kwa hivyo usimruhusu mtu yeyote akuzuie kuota!
In this KaBrazen episode, Aunty Shishi reimagines the amazing story of the girl who dreamed of singing. Bi Kidude sang for over one hundred years in Zanzibar and around the world, and reminds us to listen to what makes us happy, after all our soul knows what to do.
Care warning: Topics include child marriage and physical harm to a child.
Katika kipindi hiki cha KaBrazen, Tata Nduta anasimulia hadithi ya kusisimua kuhusu msichana aliyekuwa na ndoto ya kuimba. Bi Kidude aliimba kwa zaidi ya karne moja huko Zanzibar na kote kote duniani, na anatukumbusha kusikiliza kile kinachotufurahisha…kwani nyoyo zetu zinajua cha kufanya.
Tafadhali zingatia kwa makini: Miongoni mwa mada zilizopo ndoa za utotoni na dhuluma ya kimwili dhidi ya mtoto.
Credits
Sound Engineer: Wambui Waciuri
Illustrations: Melody Jelagat
Written by: Aleya Kassam
Edited by: Anne Moraa
Voiced by: Afrikan Nduta
KaBrazen Team: Afrikan Nduta & Jane Nthanze
Theme song by: Timothy Arinaitwe & Mbogua Mbugua
Logo by: Francis Ally Mlacha
Produced at: Za Kikwetu Productions
Produced by: The LAM Sisterhood
Season 1 Kiswahili of KaBrazen Podcast was conceptualized and produced by The LAM Sisterhood with support from the Ignite Culture Grant. The Season was recorded at Za Kikwetu Productions Limited. Marketing and Distribution support by Africa Podfest.
Kiswahili podcast production, marketing and distribution support for Season 1 is supported by a grant from Ignite Culture: ACP-EU Culture Programme (Eastern Africa). This fund is being implemented by HEVA, in partnership with the British Council Kenya with the financial contribution of the European Union, and with further support from the Organisation of ACP (African, Caribbean and Pacific) States. It is part of the global ACP-EU Culture Programme.
Credits
Sound Engineer: Wambui Waciuri
Illustrations: Melody Jelagat
Written by: Aleya Kassam
Edited by: Anne Moraa
Voiced by: Afrikan Nduta
KaBrazen Team: Afrikan Nduta & Jane Nthanze
Theme song by: Timothy Arinaitwe & Mbogua Mbugua
Logo by: Francis Ally Mlacha
Produced at: Za Kikwetu Productions
Produced by: The LAM Sisterhood
Kutoka Kenya hadi Angola, sasa tunakwenda moja kwa moja hadi Morocco! Wiki hii, hadithi tunayorejelea tena ni kuhusu chuo kikuu cha kwanza kabisa duniani!
Kumbuka kwamba kipindi hiki kinatoa tahadhari kwa msikilizaji kwani kinahusu kifo cha mzazi. Lakini kama utakavyoonyehswa na Fatima na Maryam, mnapojaliana, mnaweza kutimiza ndoto yoyote ile.
Credits
Sound Engineer: Wambui Waciuri
Illustrations: Melody Jelagat
Written by: Aleya Kassam
Edited by: Anne Moraa
Voiced by: Afrikan Nduta
KaBrazen Team: Afrikan Nduta & Jane Nthanze
Theme song by: Timothy Arinaitwe & Mbogua Mbugua
Logo by: Francis Ally Mlacha
Produced at: Za Kikwetu Productions
Produced by: The LAM Sisterhood
Season 1 Kiswahili of KaBrazen Podcast was conceptualized and produced by The LAM Sisterhood with support from the Ignite Culture Grant. The Season was recorded at Za Kikwetu Productions Limited. Marketing and Distribution support by Africa Podfest.
Kiswahili podcast production, marketing and distribution support for Season 1 is supported by a grant from Ignite Culture: ACP-EU Culture Programme (Eastern Africa). This fund is being implemented by HEVA, in partnership with the British Council Kenya with the financial contribution of the European Union, and with further support from the Organisation of ACP (African, Caribbean and Pacific) States. It is part of the global ACP-EU Culture Programme.
Katika kipindi cha pili cha KaBrazen, tunafunga safari ya kuelekea Angola kusikiliza hadithi murua ya shujaa mpendwa Malkia Njinga ambaye ni msichana aliyeweza kufungua fundo lolote.
Credits
Sound Engineer: Wambui Waciuri
Illustrations: Melody Jelagat
Written by: Aleya Kassam
Edited by: Anne Moraa
Voiced by: Afrikan Nduta
KaBrazen Team: Afrikan Nduta & Jane Nthanze
Theme song by: Timothy Arinaitwe & Mbogua Mbugua
Logo by: Francis Ally Mlacha
Produced at: Za Kikwetu Productions
Produced by: The LAM Sisterhood
Season 1 Kiswahili of KaBrazen Podcast was conceptualized and produced by The LAM Sisterhood with support from the Ignite Culture Grant. The Season was recorded at Za Kikwetu Productions Limited. Marketing and Distribution support by Africa Podfest.
Kiswahili podcast production, marketing and distribution support for Season 1 is supported by a grant from Ignite Culture: ACP-EU Culture Programme (Eastern Africa). This fund is being implemented by HEVA, in partnership with the British Council Kenya with the financial contribution of the European Union, and with further support from the Organisation of ACP (African, Caribbean and Pacific) States. It is part of the global ACP-EU Culture Programme.
Katika kipindi cha kwanza cha KaBrazen, Tata Nduta anatusimulia hadithi ya kweli, tena ya kusisimua kuhusu mpigania uhuru hodari, Mekatilili wa Menza aliyekuwa binti mfalme shujaa aliyependa Kudansi.
Credits
Sound Engineer: Wambui Waciuri
Illustrations: Melody Jelagat
Written by: Aleya Kassam
Edited by: Anne Moraa
Voiced by: Afrikan Nduta
KaBrazen Team: Afrikan Nduta & Jane Nthanze
Theme song by: Timothy Arinaitwe & Mbogua Mbugua
Logo by: Francis Ally Mlacha
Produced at: Za Kikwetu Productions
Produced by: The LAM Sisterhood
Season 1 Kiswahili of KaBrazen Podcast was conceptualized and produced by The LAM Sisterhood with support from the Ignite Culture Grant. The Season was recorded at Za Kikwetu Productions Limited. Marketing and Distribution support by Africa Podfest.
Kiswahili podcast production, marketing and distribution support for Season 1 is supported by a grant from Ignite Culture: ACP-EU Culture Programme (Eastern Africa). This fund is being implemented by HEVA, in partnership with the British Council Kenya with the financial contribution of the European Union, and with further support from the Organisation of ACP (African, Caribbean and Pacific) States. It is part of the global ACP-EU Culture Programme.
KaBrazen is taking a mid-season break. But we have a little treat for your ears. In this special episode, we hear from some wonderful friends, and Aunty Shishi plays her favourite moments from the first four stories. We hope you are also taking a refreshing and joyful break. See you next month, for a brand new story of a Brazen African woman.
Suitable for 4yrs to 9yrs and all of those young at heart.
This episode is seven minutes long [7:00]
Tell us what you think with #KaBrazen
In the third episode of KaBrazen, Aunty Shishi reimagines the remarkable story of how Fatima and Maryam al-Fihri deal with the grief of their father’s death, and go on to create the world’s first ever university. As Fatima and Maryam will show you, when you take care of each other, you can make any dream come true.
Care warning: this episode involves the death of a parent
Episode Three Credits
Sound Engineer: Wambui Waciuri
Illustrations: Melody Jelagat
Written by: Aleya Kassam
Edited by: Anne Moraa
Voiced by: Laura Ekumbo
KaBrazen Team: Afrikan Nduta & Jane Nthanze
Theme song by: Timothy Arinaitwe & Mbogua Mbugua
Logo by: Francis Ally Mlacha
Produced at: Za Kikwetu Productions
Produced by: The LAM Sisterhood
This episode was made with the support of The Aga Khan University Media Innovation Centre
In the second episode of KaBrazen, Aunty Shishi re-imagines the fantastical story of the celebrated Queen Njinga. As a girl who could untie any knot, Njinga will show you that when you become a leader, you must learn to care for your people.
Episode Two Credits
Sound Engineer: Wambui Waciuri
Illustrations: Melody Jelagat
Written by: Aleya Kassam
Edited by: Anne Moraa
Voiced by: Laura Ekumbo
KaBrazen Team: Afrikan Nduta & Jane Nthanze
Theme song by: Timothy Arinaitwe & Mbogua Mbugua
Logo by: Francis Ally Mlacha
Produced at: Za Kikwetu Productions
Produced by: The LAM Sisterhood
This episode was made with the support of The Aga Khan University Media Innovation Centre
In the first episode of KaBrazen, Aunty Shishi re-imagines the incredible true story of resistance leader Mekatilili wa Menza. In a world taken over by enormous colourless frogs, Mekatilili will show you why no one should ever take away your songs.
Episode One Credits
Sound Engineer: Wambui Waciuri
Illustrations: Melody Jelagat
Written by: Aleya Kassam
Edited by: Anne Moraa
Voiced by: Laura Ekumbo
KaBrazen Team: Afrikan Nduta & Jane Nthanze
Theme song by: Timothy Arinaitwe & Mbogua Mbugua
Logo by: Francis Ally Mlacha
Produced at: Za Kikwetu Productions
Produced by: The LAM Sisterhood
This episode was made with the support of The Aga Khan University Media Innovation Centre
Msichana anayeimba, ukwepaji wa kijasiri na tamasha la kipekee kweli kweli!
Katika kipindi hiki cha KaBrazen, Tata Nduta anasimulia hadithi ya kimuziki ya msichana anayeeneza furaha kila aendako. Kutoka awe msichana mdogo aliyekua na kuwa mwanamuziki maarufu katika nchi yake, hadi kutoroka nyumbani usiku wa manane, na kugeuka na kuwa mwanamuziki mashuhuri wa kimataifa, Angelique hakuwahi kuwacha kuimba…na anatukumbusha kuimba , kucheza na kuota kila wakati!