Swahili Dishes Podcast

This podcast hosted by Faiza & Mkamburi is purely in Swahili language and focuses on breaking stereotypes about the Kenyan coastal community and culture through entertaining conversations.

Usijiaibishe Bana!

Tunaangalia njia tofauti unaweza kujiaibisha ukiwa kwenye date!

02-05
21:58

Ushawahi Kughostiwa na Mwanamke? Jua Kwa Nini Ulikula Block!

Mapenzi yana changamoto lakini mwanamke akiamua kughosti jua kuna issue muhimu ya kuzingatia.

10-25
27:43

Je Kuna Wachumba Kwenye DMs? (Reading Each Other's DMs)

Jumuika nasi tukisoma DMs zetu, nani atakayebahatika na mapenzi ya dhati?

10-24
32:22

Mwanaume Hapaswi Kulala kwa Wakwe Zake! QnA

Kulingana na mila na desturi kuna vitu amabavyo havikubaliwi. Ungana nasi kwenye QnA ya kusisimua akili na mbavu!

10-17
34:47

Mashemeji Walipwe?

QnA

08-14
36:15

Utajuaje Una Date Mwanaume Gold Digger?

Tafuta karatasi na kalamu, darasa limeanza!

07-10
49:55

Utalipa Fare?

Jumuika nasi kwenye mchezo wa maswali na majibu.

06-27
41:28

Pettiest Thing Umefanya Baada Ya Kuachana Na Mpenzi Wako

Saa nyingine hasira ni hasara.

03-22
20:40

Umerogwa Ama Ni Penzi La Kweli?

Kuna vitabia mtu hufanya katika mahusiano amayo yanafanya ujiulize kama akili iko sawa ama ni jinamizi.

03-21
24:52

Kwa Nini Wanawake Wanacheati?

Je unajua kuna takwimu zinazoelezea kuwa wanawake huwa na mbinu bora za kucheati?

10-29
26:01

Mambo Wanaume Wanayofanya Baada ya Mechi Yanayoboesha

Jumuika nasi tunapotoa mifano ya vitu amabavyo wanaume hufanya baada ya mechi yanayotuudhi.

10-28
15:15

Part 1- Nilmfumania Hotelini Akicheati (Hadithi Njoo)

Hadithi njoo uwongo njoo! Mkamburi anatusimulia masaibu yake ya mpenzi wake wa zamani.

10-27
20:32

Fahamu Haya Kuhusu Uke Wa Mwanamke

Kipindi hiki kinahusu vitu tofauti unayofaa kujua kuhusu uke wa mwanamke.

10-27
39:09

Ushawahi Kuchepuka na Mume Wa Mtu? Mchezo Wa Maswali na Majibu (QnA)

Tujumuike kwenye mchezo huu wa kuchekesha tunapoulizana maswali tofauti kuhusu mahusiano.

10-27
35:36

Wasichana wa Bara Wanapenda Hela na Hawaheshimu Wanaume Wao! Part 2

Gumzo linaendelea… Warembo wa Bara inasemekana ni wapambanaji lakini hawana heshima kama wapwani

08-10
27:01

Vijana Wa Bara Wanatupenda ama Wanatudanganya? Part 1

Wiki hii tunazungumzia penzi baina ya wabara na wapwani. Hili penzi hua ni la kudumu ama ni kudanganyana tu???

08-08
20:52

Tips Kwa Mchepuko/Mpango Wa Kando

Wooyooooo! Leo kwenye  mkahawa tuna toa tips kemkem kwa ma side chick ama michepuko

08-06
17:54

Mahusiano Toxic Kwa Nini Hutoki?

Hata Kama wampenda mumeo kiasi gani na waumia huna raha, ni wakati uangalie kama kuvumilia kutakuweka kwenye shida na kuhatarisha maisha yako.

08-05
50:19

Mwanaume Wake Anadanga? Utasema ama Hayakuhusu?

Wooyooooo! Ukijua shemeji yako ama  mume/ boyfriend wa swahiba lako anamcheat utamwambia ama utanyamazia?

08-04
20:48

Recommend Channels