
AFRIKA KUSINI - ACE MAGASHULE ASHITAKI CHAMA CHA ANC
Update: 2021-06-24
Share
Description
Katibu Mkuu wa chama cha African National Congress ANC aliyesimamishwa wadhifa wake, Ace Magashule, amekipeleka chama hicho mahakamani kupinga kusimamishwa kwake baada ya kukataa kujiuzulu.
Comments
In Channel