DiscoverTanzania AdaptsTanzania Adapts: Joto linavyoathiri afya ya uzazi na namna ya kukabili
Tanzania Adapts: Joto linavyoathiri afya ya uzazi na namna ya kukabili

Tanzania Adapts: Joto linavyoathiri afya ya uzazi na namna ya kukabili

Update: 2023-01-19
Share

Description

Moja ya athari za mabadiliko ya tabia ya nchi ni joto kali. Katika episode hii Marygoreth Richard amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi mtendaji wa Doris Mollel Foundation, Doris Mollel kujadili namna joto linalosababishwa na mabadiliko ya tabia ya nchi linavyoleta athari kwa mama mjamzito kujifungua mtoto kabla ya wakati. Kama mwanaharakati wa masuala ya Watoto njiti, kwenye episode hii Doris anatupa mifano aliyokutana nayo ya wanawake wanaopata changamoto na kujifungua Watoto njiti kutokana na mabadiliko hayo. Kuwa sehemu ya mjadala kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii kujadili kwa pamoja mbinu mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko hayo.



In this episode Marygoreth Richard sits with Doris Mollel, founder and executive director of the Doris Mollel Foundation, to discuss how climate change affects maternal health and ways to adapt. As a leading baby activist, Doris shares examples of how heat stress can cause pregnant women to have premature babies. 


Tanzania Adapts is a Kiswahili language podcast created by BBC Media Action in Tanzania. It is produced and presented by Marygoreth Richard. Tanzania Adapts is supported by Irish Aid and the Embassy of Belgium in Tanzania.




Learn more on YouTube: https://www.youtube.com/@tanzaniaadapts9082



Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.

Comments 
In Channel
00:00
00:00
x

0.5x

0.8x

1.0x

1.25x

1.5x

2.0x

3.0x

Sleep Timer

Off

End of Episode

5 Minutes

10 Minutes

15 Minutes

30 Minutes

45 Minutes

60 Minutes

120 Minutes

Tanzania Adapts: Joto linavyoathiri afya ya uzazi na namna ya kukabili

Tanzania Adapts: Joto linavyoathiri afya ya uzazi na namna ya kukabili