
Zinga: Viwango vya mafunzo ya udereva nchini viko chini, Alfayo Otuke
Update: 2024-04-23
Share
Description
Kulingana na mtaalamu wa masuala ya usalama barabarani Alfayo Otuke, Asilimia 30 ya madereva wako na leseni bandia za kuendesha gari, na kwamba Viwango vya mafunzo ya udereva nchini viko chini.
Comments
In Channel



