DiscoverDiscovering Africa Thru' Technology‘Uwekezaji katika Haki za Binadamu za Wanawake Watetezi wa Haki za Binadamu na Makundi Maalum Hilda Stuart Dadu
‘Uwekezaji katika Haki za Binadamu za Wanawake Watetezi wa Haki za Binadamu na Makundi Maalum Hilda Stuart Dadu

‘Uwekezaji katika Haki za Binadamu za Wanawake Watetezi wa Haki za Binadamu na Makundi Maalum Hilda Stuart Dadu

Update: 2024-03-15
Share

Description

Wakili Msomi Hilda Stuart Dadu ni Mratibu wa Mtandao wa Wanawake Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (Coalition for Women Human Rights Defenders Tanzania) na Katibu wa Mtandao wa Wanawake Watetezi wa Haki za
Binadamu Africa Mashariki.  


Mwanaharakati Mbobezi na Mtetezi wa Haki za Binadamu za Wanawake na Makundi Maalum anaelezea mafanikio
na changamoto katika kuwekeza katika haki za binadamu Tanzania.


Hilda anasistiza umuhimu wa kuwekeza katika sheria na mifumo bora inayoheshimu, linda na kutekeleza
sheria za kuwalinda wanawake watetezi wa haki za binadamu na makundi maalum Tanzania.
Kuimarisha utawala bora na usalama wa raia kuzuia uvunjwaji wa sheria, machafuko,
ukatili wa kijinsia na matabaka yatakayogharimu taifa gharama kubwa.


 


https://cwhrds.or.tz/


@cwhrdstz


https://web.facebook.com/cwhrdstz


https://www.instagram.com/cwhrdstz/


 


Follow us on


Twitter: @discoverAfrDATT


Instagram:@discoverAfrDATT


Facebook:discoverAfrDATT


LinkedIn:@discoverAfrDATT


Email: discoveringafricaDATT@gmail.com













































Comments 
In Channel
loading
00:00
00:00
x

0.5x

0.8x

1.0x

1.25x

1.5x

2.0x

3.0x

Sleep Timer

Off

End of Episode

5 Minutes

10 Minutes

15 Minutes

30 Minutes

45 Minutes

60 Minutes

120 Minutes

‘Uwekezaji katika Haki za Binadamu za Wanawake Watetezi wa Haki za Binadamu na Makundi Maalum Hilda Stuart Dadu

‘Uwekezaji katika Haki za Binadamu za Wanawake Watetezi wa Haki za Binadamu na Makundi Maalum Hilda Stuart Dadu

Raziah Mwawanga