
Taarifa ya Habari 19 Septemba 2025
Update: 2025-09-19
Share
Description
Kampuni ya pili kwa ukubwa ya madini imetangaza inapunguza ajira. Anglo American Australia imesema ita angaza kupunguza idadi ya wafanyakazi Queensland, na takriban wafanyakazi 200 wata athirika.
Comments
In Channel