DiscoverSBS Swahili - SBS SwahiliAustralia yafafanuliwa:waathiriwa wa ukatili wa kijinsia wahimizwa kuripoti
Australia yafafanuliwa:waathiriwa wa ukatili wa kijinsia wahimizwa kuripoti

Australia yafafanuliwa:waathiriwa wa ukatili wa kijinsia wahimizwa kuripoti

Update: 2025-11-27
Share

Description

Mmoja kati ya wanawake watano na mmoja kati ya wanaume kumi na sita wamekumbwa na ukatili wa kingono wakiwa watu wazima huko Australia, kulingana na Ofisi ya Takwimu ya Australia ya 2023 - na bado asilimia tisini na mbili ya wanawake hawaripoti unyanyasaji wao wa hivi karibuni wa kingono. Ripoti mpya inataka kuelewa kwa kisheria miongoni mwa waathirika, huduma za mstari wa mbele, na wataalamu wa sheria, ili kusaidia waathirika kuifahamu mifumo changamano ya haki za jinai na kushughulikia viwango vya juu vya kuacha kesi za unyanyasaji wa kingono.
Comments 
In Channel
loading
00:00
00:00
x

0.5x

0.8x

1.0x

1.25x

1.5x

2.0x

3.0x

Sleep Timer

Off

End of Episode

5 Minutes

10 Minutes

15 Minutes

30 Minutes

45 Minutes

60 Minutes

120 Minutes

Australia yafafanuliwa:waathiriwa wa ukatili wa kijinsia wahimizwa kuripoti

Australia yafafanuliwa:waathiriwa wa ukatili wa kijinsia wahimizwa kuripoti