DiscoverJua Haki ZakoDRC : Haki za raia wanaoishi na ulemavu Goma, DRC
DRC : Haki za raia wanaoishi na ulemavu Goma, DRC

DRC : Haki za raia wanaoishi na ulemavu Goma, DRC

Update: 2025-10-25
Share

Description

Katika makala haya  shaba yetu inalenga nchini DRC hasa eneo la Mashariki, ambapo tunajadili haki za malemavu eneo hilo.

Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mamia ya watu wenye ulemavu wamejikuta wakihangaika kuokoa maisha yao, kipindi hiki vita vikiendelea kusheheni eneo hilo.

Miji kama Goma, Rutshuru na Sake imeshuhudia maelfu wakikimbia maakazi yao. Lakini kwa wengi wenye ulemavu, kukimbia si jambo rahisi.

Wengine wanatembea kwa magongo, wengine hutumia viti vya magurudumu ambavyo haviwezi kuvuka matope, milima, au mabonde.

Skiza makala haya kufahamu mengi

Comments 
loading
00:00
00:00
1.0x

0.5x

0.8x

1.0x

1.25x

1.5x

2.0x

3.0x

Sleep Timer

Off

End of Episode

5 Minutes

10 Minutes

15 Minutes

30 Minutes

45 Minutes

60 Minutes

120 Minutes

DRC : Haki za raia wanaoishi na ulemavu Goma, DRC

DRC : Haki za raia wanaoishi na ulemavu Goma, DRC

RFI Kiswahili