Uganda : Uchaguzi raia wanafahamu haki zao
Update: 2025-10-18
Description
Uchaguzi nchini Uganda, unatarajiwa kufanyika mwezi January, Rais Museveni akichuana tena na Hasimu wake wa kisiasa mwanamziki aliyeukia siasa, Bobi Wine.
Skiza makala haya kufahamu mengi.
Comments
In Channel



