DiscoverJua Haki ZakoKenya : Haki ya kumiliki ardhi ya jamii ya wafugaji
Kenya : Haki ya kumiliki ardhi ya jamii ya wafugaji

Kenya : Haki ya kumiliki ardhi ya jamii ya wafugaji

Update: 2025-08-22
Share

Description

Jamii za wafugaji nchini Kenya, bado zinapitia changamoto za kumiliki ardhi, jamii hizo ni kama vile,Turkana, Samburu, Rendille, Borana, Gabra na nyingine , zimeathiriwa kwa muda mrefu na unyang’anyi wa ardhi wakati wa ukoloni, ambao uliendelezwa hata baada ya uhuru .

Licha ya kutambuliwa kwa haki za jamii katika Katiba ya 2010 na kupitishwa kwa Sheria ya Ardhi ya Jamii ya mwaka 2016, jamii hizi bado zinakumbwa na changamoto za ardhi,unyang’anyaji wa mashamba na ukosefu wa haki za  kisheria—hali inayotishia siyo tu maisha yao bali pia utamaduni.

Comments 
00:00
00:00
x

0.5x

0.8x

1.0x

1.25x

1.5x

2.0x

3.0x

Sleep Timer

Off

End of Episode

5 Minutes

10 Minutes

15 Minutes

30 Minutes

45 Minutes

60 Minutes

120 Minutes

Kenya : Haki ya kumiliki ardhi ya jamii ya wafugaji

Kenya : Haki ya kumiliki ardhi ya jamii ya wafugaji

RFI Kiswahili