MSIMU WA MAFUA: JINSI YA KUJIKINGA NA KUTIBU
Update: 2025-05-14
Description
Katika kipindi hiki, Doctor Rafiki anazungumzia ongezeko la mafua katika jamii kipindi hiki cha msimu wa baridi na mvua. Utajifunza visababishi vikuu vya mafua, jinsi yanavyoenea, na hatua rahisi lakini muhimu za kujikinga na kutibu mafua kabla hayajawa makubwa. Sikiliza upate elimu ya afya kwa maisha bora!
#doctorrafikiafrica
kwa mawasiliano: dr.rafikiafrica@gmail.com
Comments
In Channel