DiscoverSBS Swahili - SBS SwahiliAustralia yafafanuliwa:Umoja wa mataifa wachunguza utaratibu wa kizuizi cha wahamiaji Australia
Australia yafafanuliwa:Umoja wa mataifa wachunguza utaratibu wa kizuizi cha wahamiaji Australia

Australia yafafanuliwa:Umoja wa mataifa wachunguza utaratibu wa kizuizi cha wahamiaji Australia

Update: 2025-12-04
Share

Description

Utawala wa mamlaka ya uhamiaji wa Australia unachunguzwa na Umoja wa Mataifa wiki hii. Kikundi Kazi cha U-N juu ya Kuzuia Kiholela uhuru kinachunguza jinsi nchi hiyo inavyonyima watu uhuru wao - kutoka magereza hadi vituo vya vizuizi vya nje ya mipaka. Na kwa watu kama Muhammad, ambaye alizuiliwa kwa miaka sita, uchunguzi huu ni kitu kilichochelewa kwa muda mrefu.
Comments 
In Channel
loading
00:00
00:00
x

0.5x

0.8x

1.0x

1.25x

1.5x

2.0x

3.0x

Sleep Timer

Off

End of Episode

5 Minutes

10 Minutes

15 Minutes

30 Minutes

45 Minutes

60 Minutes

120 Minutes

Australia yafafanuliwa:Umoja wa mataifa wachunguza utaratibu wa kizuizi cha wahamiaji Australia

Australia yafafanuliwa:Umoja wa mataifa wachunguza utaratibu wa kizuizi cha wahamiaji Australia