DiscoverJua Haki ZakoKenya : Ukeketaji bado changamato Africa
Kenya : Ukeketaji bado changamato Africa

Kenya : Ukeketaji bado changamato Africa

Update: 2025-11-20
Share

Description

Katika maeneo ya wafugaji wa kuhamahama nchini Kenya, mila na

desturi bado zinaonekana kupewa kipaumbele kuliko elimu – hali

inayowafanya wasichana kuwa katika hatari kubwa ya kukeketwa.

 

Wasichana wengi hukatizwa masomo na kulazimishwa kufuata

tamaduni zinazokiuka haki zao, huku ukeketaji ukiendelea kufanywa

kwa usiri mkubwa licha ya juhudi za serikali na wadau kutoa elimu

na kupiga marufuku tendo hilo.

 

Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kuwa

ukeketaji wa wasichana na wanawake wenye umri wa miaka 15

hadi 49 bado ni tatizo linaloripotiwa nchini Kenya.

Katika makala haya  tunaangazia namna tamaduni

hizi zimeendelea kushamiri katika jamii za wafugaji wa kuhama

hama na jinsi zinavyomnyima mtoto wa kike haki yake ya kupata

elimu na kuishi bila unyanyasaji.

Comments 
loading
00:00
00:00
1.0x

0.5x

0.8x

1.0x

1.25x

1.5x

2.0x

3.0x

Sleep Timer

Off

End of Episode

5 Minutes

10 Minutes

15 Minutes

30 Minutes

45 Minutes

60 Minutes

120 Minutes

Kenya : Ukeketaji bado changamato Africa

Kenya : Ukeketaji bado changamato Africa

RFI Kiswahili