DiscoverHabari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutuUsugu dhidi ya Viua-Vijasumu, AMR ni jukumu la kila mtu – Profesa Mohamed Janabi, WHO Afrika
Usugu dhidi ya Viua-Vijasumu, AMR ni jukumu la kila mtu – Profesa Mohamed Janabi, WHO Afrika

Usugu dhidi ya Viua-Vijasumu, AMR ni jukumu la kila mtu – Profesa Mohamed Janabi, WHO Afrika

Update: 2025-11-19
Share

Description

Usugu dhidi ya Viua-Vijasumu (AMR)unaelezwa kama janga la kimyakimya linalotishia kurudisha nyuma mafanikio ya miongo kadhaa katika tiba na afya. Tunapoadhimisha Wiki ya Kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu usugu dhidi ya Viua-Vijasumu au antibiotics, Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO Kanda ya Afrika, Profesa Mohamed Janabi, ametahadharisha akisema dawa ambazo hapo awali ziliokoa maisha sasa hazifanyi kazi kama ilivyokuwa na hivyo inabidi kuchukua hatua za pamoja na haraka. Anold Kayanda na maelezo zaidi.

Comments 
00:00
00:00
x

0.5x

0.8x

1.0x

1.25x

1.5x

2.0x

3.0x

Sleep Timer

Off

End of Episode

5 Minutes

10 Minutes

15 Minutes

30 Minutes

45 Minutes

60 Minutes

120 Minutes

Usugu dhidi ya Viua-Vijasumu, AMR ni jukumu la kila mtu – Profesa Mohamed Janabi, WHO Afrika

Usugu dhidi ya Viua-Vijasumu, AMR ni jukumu la kila mtu – Profesa Mohamed Janabi, WHO Afrika

Anold Kayanda