DiscoverHabari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutuMONUSCO imelaani vikali mashambulizi ya ADF Lubero nchini DRC yalioua raia 89
MONUSCO imelaani vikali mashambulizi ya ADF Lubero nchini DRC yalioua raia 89

MONUSCO imelaani vikali mashambulizi ya ADF Lubero nchini DRC yalioua raia 89

Update: 2025-11-21
Share

Description

Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ujulikanao kama MONUSCO, leo umelaani vikali mashambulizi makubwa yaliyofanywa na kundi lenye silaha la Allied Democratic Forces ADF kati ya tarehe 13 na 19 Novemba 2025 katika baadhi ya maeneo ya Lubero, jimboni Kivu Kaskazini na kukatili maisha ya raia wengi. Flora Nducha na maelezo zaidi

Comments 
00:00
00:00
x

0.5x

0.8x

1.0x

1.25x

1.5x

2.0x

3.0x

Sleep Timer

Off

End of Episode

5 Minutes

10 Minutes

15 Minutes

30 Minutes

45 Minutes

60 Minutes

120 Minutes

MONUSCO imelaani vikali mashambulizi ya ADF Lubero nchini DRC yalioua raia 89

MONUSCO imelaani vikali mashambulizi ya ADF Lubero nchini DRC yalioua raia 89

Flora Nducha