DiscoverSiha NjemaMatatizo ya kupata uja uzito miongoni mwa wanafamilia yanazidi kuongezeka
Matatizo ya kupata uja uzito miongoni mwa wanafamilia yanazidi kuongezeka

Matatizo ya kupata uja uzito miongoni mwa wanafamilia yanazidi kuongezeka

Update: 2024-09-03
Share

Description

Ripoti nyingi  zinaonesha wanawake pamoja na wanaume wanakabiliwa na changamoto za uzazi

Wanandoa nyingi wanalazimika kukaa miaka mingi kabla kupata watoto ,kitu ambacho bado kinazingatiwa na jamii za Afrika kuwa ukamilifu katika kila ndoa au familia.

Daktari bingwa wa uzazi dkt Dennis Miskella anaeleza  juhudi za kutafuta mtoto zinastahili kuwa ushirikiano kati ya mke na mumewe

Baadhi ya sababu zinazohusishwa na hali hii ni kushiriki tendo la ndoa visivyo ,athari za baadhi ya mbinu za kupanga uzazi ,uvutaji sigara na pia unene wa kupitiliza

Comments 
In Channel
loading
00:00
00:00
x

0.5x

0.8x

1.0x

1.25x

1.5x

2.0x

3.0x

Sleep Timer

Off

End of Episode

5 Minutes

10 Minutes

15 Minutes

30 Minutes

45 Minutes

60 Minutes

120 Minutes

Matatizo ya kupata uja uzito miongoni mwa wanafamilia yanazidi kuongezeka

Matatizo ya kupata uja uzito miongoni mwa wanafamilia yanazidi kuongezeka

RFI Kiswahili