
Watalaam waonya kukaa muda mwingi kunaweza kukusababishia kifo cha mapema
Update: 2025-07-23
Share
Description
Kukaa kwa zaidi ya saa sita mfululizi kila siku inaweza kukuweka kwenye hatari ya kupata magonjwa ya uti wa mgongo,kisukari,shinikizo la damu na kifo cha mapema
Comments
In Channel