Fahamu changamoto ya afya ya akili kwa vijana.
Update: 2025-09-10
Description
Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Jukwaa la Vijana, mwezeshaji Daktari Katanta Lazarus Simwanza, Mshauri mwandamizi wa maswala ya afya ya uzazi, malezi na familia lakini pia ni Mwenyekiti wa watoa huduma za afya wakatoliki Jimbo Kuu la Dar es salaam, anazungumzia juu ya vijana na changamoto ya afya ya akili.
L'articolo Fahamu changamoto ya afya ya akili kwa vijana. proviene da Radio Maria.
Comments
In Channel